Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:





MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on June 14, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 7, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 23, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 5, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Halimah (Guest) on April 14, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on April 7, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on March 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on February 26, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on February 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rubea (Guest) on January 5, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Anna Malela (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on November 14, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on October 30, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on October 18, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on October 9, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Amir (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Mligo (Guest) on September 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Guest (Guest) on September 3, 2025

Utakuwa kichaa

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Mduma (Guest) on August 20, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mbise (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 7, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 31, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mchawi (Guest) on May 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Wangui (Guest) on May 13, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on March 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on March 9, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Jane Muthui (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on February 16, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Charles Mboje (Guest) on December 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 6, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salum (Guest) on December 5, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on December 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on November 25, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More