Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo!
Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!
Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti!
then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Kimani (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Musyoka (Guest) on March 18, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on March 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Elijah Mutua (Guest) on January 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on January 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on December 21, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on December 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on December 10, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 9, 2016

🀣πŸ”₯😊

Victor Kimario (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Alex Nyamweya (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Njeri (Guest) on November 20, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on November 13, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on October 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on October 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Sumari (Guest) on September 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on September 6, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shani (Guest) on September 5, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rehema (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Malima (Guest) on August 20, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on July 28, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sultan (Guest) on July 27, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Paul Ndomba (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Tambwe (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rukia (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nyota (Guest) on May 7, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on April 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on April 7, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 31, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on March 18, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Majid (Guest) on March 11, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mchome (Guest) on February 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on February 15, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 20, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nuru (Guest) on November 29, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Philip Nyaga (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Habiba (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on September 15, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lucy Mahiga (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on July 22, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Stephen Amollo (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Mwikali (Guest) on June 30, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on June 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Amina (Guest) on June 20, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Hekima (Guest) on June 18, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Henry Sokoine (Guest) on May 26, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on May 24, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on May 3, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on April 2, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More