Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Featured Image

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Yahya (Guest) on July 24, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Kawawa (Guest) on May 14, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on May 11, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaidha (Guest) on February 8, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 6, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Ochieng (Guest) on December 31, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on November 28, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Diana Mallya (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kawawa (Guest) on November 25, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Peter Mugendi (Guest) on November 25, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Raha (Guest) on November 9, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kamau (Guest) on September 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 27, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on August 9, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on July 28, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on June 20, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rahma (Guest) on June 11, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Kimani (Guest) on May 24, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on May 5, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Baraka (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on March 29, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 22, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Francis Mrope (Guest) on March 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Selemani (Guest) on March 22, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on March 14, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Makame (Guest) on January 28, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on January 9, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Umi (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on January 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

George Wanjala (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on July 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Robert Ndunguru (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Makame (Guest) on July 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on July 1, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Kimotho (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwachumu (Guest) on March 31, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nuru (Guest) on March 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More