Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Lugha za namba ni noma

Featured Image

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ 21002Β Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu mpya. Akaniambia nimesema TUMIA TU πŸ˜‚πŸ˜‚mtatuua na lugha zenu😜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Sokoine (Guest) on July 23, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Guest (Guest) on March 10, 2026

Mmmh !

Ahmed (Guest) on July 20, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on June 17, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Khadija (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Sofia (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on June 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Kheri (Guest) on May 31, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on May 11, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on April 24, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 19, 2024

Asante Ackyshine

Joseph Kawawa (Guest) on March 26, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Alice Mwikali (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Moses Mwita (Guest) on March 16, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on March 14, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on January 19, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on January 19, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Umi (Guest) on January 11, 2024

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ann Awino (Guest) on January 5, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on December 20, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Wande (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Henry Mollel (Guest) on December 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 18, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on November 14, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Muslima (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alex Nyamweya (Guest) on November 8, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 31, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on October 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 12, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Henry Sokoine (Guest) on July 3, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwachumu (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Kimani (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on March 15, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Robert Ndunguru (Guest) on March 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tabitha Okumu (Guest) on January 4, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Asha (Guest) on December 17, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Salum (Guest) on November 28, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Anna Kibwana (Guest) on September 19, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sultan (Guest) on September 13, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Kenneth Murithi (Guest) on September 1, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on August 27, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on July 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on July 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on June 14, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on May 17, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on May 11, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Maulid (Guest) on May 11, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on April 7, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on March 18, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on February 19, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on February 11, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 7, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More