Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: we nani kwani?
Polisi::: sisi polisi
Jamaa::: mnataka nini?





Polisi::: kuongea na wewe
Jamaa::: kuongea na mimi?!
Polisi::: ndio
Jamaa::: mko wangapi?
Polisi::: tuko watatu
Jamaa::: kama mko watatu si muongee wenyewe…!!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mumbua (Guest) on October 1, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kiza (Guest) on September 15, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on September 14, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 2, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rehema (Guest) on July 29, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Mtangi (Guest) on July 29, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Yahya (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Christopher Oloo (Guest) on June 14, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jackson Makori (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rubea (Guest) on May 13, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ann Wambui (Guest) on April 15, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kiza (Guest) on March 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Lowassa (Guest) on March 26, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Makena (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Raphael Okoth (Guest) on March 5, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on February 27, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on February 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Andrew Odhiambo (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on December 3, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on September 19, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on September 18, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 29, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Edwin Ndambuki (Guest) on August 22, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on August 17, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Moses Kipkemboi (Guest) on July 25, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Elizabeth Mtei (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Margaret Anyango (Guest) on April 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on April 21, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on April 1, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Daniel Obura (Guest) on March 5, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Patrick Akech (Guest) on March 1, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Majid (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Kawawa (Guest) on December 13, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on December 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on November 27, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rose Kiwanga (Guest) on November 17, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on November 5, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mwangi (Guest) on October 4, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Arifa (Guest) on September 30, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Selemani (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on September 21, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Malecela (Guest) on September 21, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Nancy Kabura (Guest) on August 5, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on July 4, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on July 4, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Diana Mallya (Guest) on June 10, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 7, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Edith Cherotich (Guest) on May 7, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More