Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kiwanga (Guest) on July 19, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE
mtoto kamwambia mamayake mama naomba niangarie tivii mama akamjibu angaria ira usiwashe

Agnes Sumaye (Guest) on July 15, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE
Lizki nilizki tu
Shehe mmoja alipokuwa anatoka msikitini
Akaona kitamba kizulii kama kimefungwa nakitu ndani yake akikichukua nakufungua akakuta zahabu.
Akakikunja vilevile nakukiweka pale pale akaenda kwake nakumuadisia mkewe mkewangu leo wakati napita pale pamoja naile nembo nimeogota zahabu mke akastuka tumekuwa matajili tumekua matajili mmewangu ikowapi mme akajibu sikufanikiwa kuileta mkewangu hawezi juwa inavitu gani mke akalamika akafoka yani a a hatakama ndo shehe unaacha utajir unauwona hapana wemwanaume mume akamjibu kama niliziki itakuja hapahpa ndani mkea analiatu umeacha utajili naizi shidazetu hapana
Kumbe wakati wanaongea kunawaizi walikuwa banda lakuku wanaiba kuku wakaskia wakatoka mbio kwenda nembo alipofika wakakuta kile kitambaa kukifungua wakakuta mavi wakasema ahaaa yule mpuz alijisemesha vile ili tutoke itakuwa alikuwa ashatuona sasa tunaenda kumtupia maviake palepale kwake wakaenda paka nyuma yanyumba yyule shehe wakapitisha kilivondoka shehe kuangalia nizahabu

Andrew Mchome (Guest) on June 16, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Omari (Guest) on May 31, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rubea (Guest) on May 11, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 20, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on April 5, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 11, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Miriam Mchome (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mariam (Guest) on December 11, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on December 1, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on November 18, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anthony Kariuki (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Halima (Guest) on November 9, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Selemani (Guest) on November 2, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Wande (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on September 19, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Tabu (Guest) on September 11, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Simon Kiprono (Guest) on August 17, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Mwangi (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on August 2, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Mutheu (Guest) on July 19, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on July 15, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mwalimu (Guest) on July 4, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on June 13, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Kibona (Guest) on May 3, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Peter Mwambui (Guest) on April 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 5, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on March 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on March 17, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sekela (Guest) on January 19, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Nyerere (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Malecela (Guest) on January 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 17, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 12, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on October 27, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on October 22, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 12, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Related Posts

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More