Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on November 7, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Khadija (Guest) on October 21, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Henry Mollel (Guest) on September 13, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sultan (Guest) on September 12, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Ochieng (Guest) on September 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Alex Nyamweya (Guest) on August 25, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on August 18, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on August 17, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on August 2, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 27, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on May 12, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on February 10, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zawadi (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Amir (Guest) on December 18, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Yahya (Guest) on December 2, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mariam (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Mussa (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Janet Sumaye (Guest) on October 20, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Janet Sumari (Guest) on October 10, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alex Nyamweya (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Kassim (Guest) on September 22, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Mrema (Guest) on September 20, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on September 16, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on July 7, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Amina (Guest) on May 4, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 2, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on April 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 3, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 20, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lydia Wanyama (Guest) on January 20, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on December 22, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Biashara (Guest) on December 20, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Athumani (Guest) on December 3, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Furaha (Guest) on November 16, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on October 27, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on October 19, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on September 12, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hamida (Guest) on July 24, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Biashara (Guest) on June 27, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alice Mrema (Guest) on June 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Omari (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jabir (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on May 17, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 15, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Athumani (Guest) on April 8, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Related Posts

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More