Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Amos@tz (User) on March 31, 2025

Hii ndo kali kulikozote

Josephine Nduta (Guest) on June 22, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Umi (Guest) on June 18, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Amos@tz (User) on March 31, 2025

Mamb vp sister

Paul Kamau (Guest) on June 7, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on June 6, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on May 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 26, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on April 12, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on April 3, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 23, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on March 20, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on February 14, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Zulekha (Guest) on February 2, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joyce Nkya (Guest) on January 4, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on December 26, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mjaka (Guest) on December 19, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on December 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 5, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Victor Mwalimu (Guest) on November 29, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on October 20, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kahina (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mugendi (Guest) on September 15, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Neema (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Sokoine (Guest) on July 10, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kimani (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Samuel Were (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Waithera (Guest) on June 30, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on June 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on May 25, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 23, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on May 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 7, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Yusuf (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Monica Nyalandu (Guest) on March 22, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sarah Mbise (Guest) on February 24, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on February 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on February 12, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 22, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on January 6, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Henry Mollel (Guest) on December 30, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Frank Sokoine (Guest) on December 20, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mbise (Guest) on November 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on October 31, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kimani (Guest) on October 28, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on October 28, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 12, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ann Awino (Guest) on September 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrope (Guest) on September 12, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on September 10, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Faith Kariuki (Guest) on June 17, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More