Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Akumu (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on September 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on August 24, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on August 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nahida (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mwangi (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on July 11, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Kiwanga (Guest) on June 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Furaha (Guest) on June 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwinyi (Guest) on May 31, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Grace Njuguna (Guest) on April 7, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on February 24, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on December 22, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

John Mwangi (Guest) on December 15, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on December 2, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 21, 2016

Asante Ackyshine

Lucy Kimotho (Guest) on October 14, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on October 13, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Shamsa (Guest) on September 8, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sharon Kibiru (Guest) on September 5, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hellen Nduta (Guest) on July 22, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 15, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sultan (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

James Kawawa (Guest) on April 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Kiza (Guest) on April 6, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 4, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Daniel Obura (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Josephine Nekesa (Guest) on January 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Latifa (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alice Mrema (Guest) on October 9, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 5, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Frank Macha (Guest) on September 13, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Cheruiyot (Guest) on September 9, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on September 8, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 14, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kevin Maina (Guest) on August 4, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwanahawa (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zulekha (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Dorothy Nkya (Guest) on June 8, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 2, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on April 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More