Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Wafula (Guest) on June 10, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on June 2, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on May 26, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on May 7, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 3, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on April 25, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Farida (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on March 16, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on February 28, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 11, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Asha (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on November 3, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Mallya (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ali (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on October 23, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 11, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on September 29, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on September 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sharifa (Guest) on September 24, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daniel Obura (Guest) on September 22, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on September 17, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on August 29, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samson Mahiga (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Sumari (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jane Muthui (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on August 2, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Zainab (Guest) on July 11, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Sumari (Guest) on July 4, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edith Cherotich (Guest) on March 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 26, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sharifa (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on March 15, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on March 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on March 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on February 21, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on February 18, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nassor (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Vincent Mwangangi (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on February 1, 2023

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nancy Komba (Guest) on January 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on November 27, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Abubakar (Guest) on November 6, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 13, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Juma (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Bakari (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 10, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Samson Tibaijuka (Guest) on August 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More