Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zubeida (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joyce Mussa (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 3, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 1, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on April 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mchuma (Guest) on March 26, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on March 15, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mgeni (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on February 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 19, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on January 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on January 1, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwachumu (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on November 28, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on November 26, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on October 19, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Tambwe (Guest) on October 6, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on September 24, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on July 10, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

George Ndungu (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Lissu (Guest) on June 17, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on June 13, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rabia (Guest) on May 26, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on May 2, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on April 24, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on April 18, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on February 16, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Aziza (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daudi (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2015

🀣πŸ”₯😊

James Mduma (Guest) on October 31, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 10, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on June 28, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Sokoine (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on May 22, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Frank Sokoine (Guest) on April 15, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on April 5, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More