Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zubeida (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joyce Mussa (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 3, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 1, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on April 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mchuma (Guest) on March 26, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on March 15, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mgeni (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on February 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 19, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on January 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on January 1, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwachumu (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on November 28, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on November 26, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on October 19, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Tambwe (Guest) on October 6, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on September 24, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on July 10, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

George Ndungu (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Lissu (Guest) on June 17, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on June 13, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rabia (Guest) on May 26, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on May 2, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on April 24, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on April 18, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on February 16, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Aziza (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daudi (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2015

🀣πŸ”₯😊

James Mduma (Guest) on October 31, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 10, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on June 28, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Sokoine (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on May 22, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Frank Sokoine (Guest) on April 15, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on April 5, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More