Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
" kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti akazimia

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hahahahahaha! Hatari

Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Agnes Njeri (Guest) on July 5, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on July 4, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Amina (Guest) on July 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hamida (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Malima (Guest) on May 15, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 10, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Asha (Guest) on May 8, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Wangui (Guest) on April 14, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on April 10, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on December 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on September 15, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 30, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwajuma (Guest) on June 5, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Stephen Kikwete (Guest) on June 3, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Mwita (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on January 8, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on November 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on November 9, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Asha (Guest) on November 2, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Chiku (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Selemani (Guest) on October 21, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on October 11, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Omar (Guest) on October 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on September 30, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Komba (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on April 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 19, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on January 31, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kawawa (Guest) on January 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 1, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on December 4, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Mwangi (Guest) on November 28, 2021

Asante Ackyshine

Makame (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Njuguna (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More