Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.

Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",

Wakapiga magoti…:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emen…

MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emen…

MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimya…

MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: …….!!

MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.

Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on February 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on February 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mwachumu (Guest) on December 30, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nassar (Guest) on December 23, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Amina (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Alice Mwikali (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 21, 2016

🀣πŸ”₯😊

Anthony Kariuki (Guest) on October 15, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 10, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on October 2, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Sekela (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Njuguna (Guest) on August 16, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on July 26, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on July 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 25, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Athumani (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mushi (Guest) on July 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Aziza (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raha (Guest) on May 20, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sharifa (Guest) on May 11, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Tabitha Okumu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on April 23, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on April 18, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Michael Mboya (Guest) on April 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on April 2, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on January 30, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on January 12, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Brian Karanja (Guest) on December 22, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Patrick Kidata (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Yahya (Guest) on October 20, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Michael Mboya (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Njeru (Guest) on September 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Hekima (Guest) on September 12, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on August 10, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 1, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on July 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Warda (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 2, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Tabitha Okumu (Guest) on April 30, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Sumaye (Guest) on April 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nassor (Guest) on April 10, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More