Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Lissu (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Guest (Guest) on August 4, 2025

mhehe

Asha (Guest) on June 29, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Chris Okello (Guest) on May 20, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Faiza (Guest) on May 2, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Josephine Nekesa (Guest) on March 8, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Chris Okello (Guest) on February 27, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mjaka (Guest) on February 9, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Ndungu (Guest) on February 8, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on January 22, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on January 6, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Hekima (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Kendi (Guest) on December 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on December 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on November 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on November 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Yusra (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Kazija (Guest) on November 12, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Alice Mwikali (Guest) on August 22, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Irene Akoth (Guest) on July 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Hashim (Guest) on June 8, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on May 1, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Minja (Guest) on April 11, 2023

😊🀣πŸ”₯

Martin Otieno (Guest) on April 2, 2023

Asante Ackyshine

Fredrick Mutiso (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 29, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on March 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwakisu (Guest) on February 26, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Masanja (Guest) on January 25, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Hassan (Guest) on January 2, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Farida (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samson Mahiga (Guest) on December 11, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on November 12, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Paul Kamau (Guest) on October 27, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 2, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on September 20, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 4, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Selemani (Guest) on August 19, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on August 7, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Nahida (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Monica Nyalandu (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Edward Lowassa (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Kenneth Murithi (Guest) on June 8, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Abubakar (Guest) on April 28, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on March 2, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on February 25, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on February 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Lowassa (Guest) on February 6, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Frank Sokoine (Guest) on January 3, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on December 30, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More