Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on October 14, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Khadija (Guest) on September 15, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on August 25, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nuru (Guest) on July 23, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sarah Mbise (Guest) on July 21, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 17, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on July 15, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on June 26, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Sarah Karani (Guest) on May 24, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Ochieng (Guest) on February 20, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on February 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on December 27, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on December 26, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Hawa (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Nora Kidata (Guest) on October 23, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Andrew Mchome (Guest) on October 9, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 19, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on September 1, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mariam (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on July 31, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Leila (Guest) on June 28, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Edith Cherotich (Guest) on June 22, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on June 16, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on June 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Zawadi (Guest) on June 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rose Lowassa (Guest) on May 29, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Akech (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on April 13, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Maulid (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Mrope (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anna Sumari (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Lowassa (Guest) on March 16, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 14, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Chacha (Guest) on March 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on March 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on February 26, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ali (Guest) on February 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 20, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Asha (Guest) on January 2, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on December 28, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on November 17, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 15, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

John Lissu (Guest) on November 14, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kabura (Guest) on October 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Salma (Guest) on September 24, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on September 6, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on August 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on August 7, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Mallya (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joseph Njoroge (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Majid (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 6, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More