Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Malima (Guest) on July 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 15, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on May 25, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on April 14, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mary Kidata (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on March 8, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 23, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Shani (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Fikiri (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abubakar (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Akech (Guest) on December 3, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shukuru (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lydia Mahiga (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alice Mwikali (Guest) on September 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 31, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on August 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on July 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 26, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on June 22, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Hawa (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Jane Muthoni (Guest) on April 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam (Guest) on February 19, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 2, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ann Awino (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Guest (Guest) on July 31, 2025

Nice nimependa hadi raha duh! Mko pw san

John Kamande (Guest) on January 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Bahati (Guest) on December 25, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Mrope (Guest) on November 18, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Daniel Obura (Guest) on November 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on October 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on October 28, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khalifa (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Amollo (Guest) on October 11, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 9, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Violet Mumo (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Nyerere (Guest) on June 25, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on June 14, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Anna Sumari (Guest) on May 29, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on May 17, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 26, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on April 8, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Akech (Guest) on February 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on February 8, 2022

🀣πŸ”₯😊

Frank Sokoine (Guest) on January 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on January 24, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on October 31, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More