Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mjaka (Guest) on October 18, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on September 20, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Issack (Guest) on August 17, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Susan Wangari (Guest) on July 29, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on June 24, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on June 24, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Kidata (Guest) on June 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on June 11, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on June 2, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Patrick Kidata (Guest) on May 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Umi (Guest) on May 24, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anna Sumari (Guest) on April 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mzee (Guest) on March 31, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on March 17, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 14, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on December 23, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hekima (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rose Kiwanga (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Baridi (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zakaria (Guest) on November 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on September 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Mligo (Guest) on July 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on July 21, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 13, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Simon Kiprono (Guest) on April 18, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on April 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Ann Wambui (Guest) on March 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on March 4, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 26, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on February 24, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nduta (Guest) on February 14, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on February 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on December 28, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Kawawa (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Zubeida (Guest) on November 13, 2017

Asante Ackyshine

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on October 1, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Kazija (Guest) on September 1, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sarah Karani (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More