Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hawa Machizi wamezidi sasa

Featured Image

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila nikionja bado ina chumvi. Mwenzake akacheka sanaaaaaa akamwambia. Hujakoroga!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Mahiga (Guest) on August 11, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on August 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on June 23, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 22, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Baraka (Guest) on June 22, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on June 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on May 14, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Arifa (Guest) on May 12, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Anyango (Guest) on May 7, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on April 16, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on April 4, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Catherine Naliaka (Guest) on February 19, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

James Kimani (Guest) on February 19, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Daniel Obura (Guest) on January 25, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rahim (Guest) on January 20, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Farida (Guest) on December 17, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on December 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on December 2, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on November 29, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on November 17, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Thomas Mtaki (Guest) on November 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 2, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Susan Wangari (Guest) on October 22, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Abdullah (Guest) on October 17, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rahma (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on July 22, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fadhili (Guest) on June 19, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Mary Njeri (Guest) on May 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on May 12, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on May 12, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on May 7, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on April 17, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Mbise (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samson Mahiga (Guest) on March 19, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on March 7, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on March 6, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 4, 2018

😊🀣πŸ”₯

Robert Okello (Guest) on January 20, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on January 17, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Chris Okello (Guest) on January 11, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on January 11, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on January 6, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Fredrick Mutiso (Guest) on January 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on December 25, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on December 3, 2017

Asante Ackyshine

Mchawi (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on October 16, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on September 27, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Abubakar (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Wilson Ombati (Guest) on September 9, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Akech (Guest) on September 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on August 6, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More