Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
โ˜ฐ
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:ย Roysambu ni ngapi?
Makanga:ย Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:ย Hii gari haina watu bana.
Makanga:ย Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ngโ€™ombe?

Man:ย Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:ย Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:ย Excuse me condaโ€ฆgari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:ย Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:ย Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:ย Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:ย Ruaka ni how much?
Makanga:ย Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:ย Shukisha dere.
Makanga:ย Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:ย Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:ย Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Fikiri (Guest) on July 5, 2024

๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Binti (Guest) on June 27, 2024

๐Ÿ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on June 13, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Janet Mwikali (Guest) on June 12, 2024

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on June 7, 2024

๐Ÿ˜† Hiyo punchline!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 5, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 3, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2024

Umesema kweli! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 28, 2024

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Charles Mchome (Guest) on April 15, 2024

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on December 21, 2023

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Kijakazi (Guest) on December 19, 2023

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 8, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 17, 2023

๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Mwanaidha (Guest) on November 10, 2023

๐Ÿ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on October 31, 2023

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Yusuf (Guest) on October 26, 2023

๐Ÿ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on October 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Jackson Makori (Guest) on September 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 11, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Athumani (Guest) on August 18, 2023

๐Ÿ˜ Hii ni dhahabu!

Khatib (Guest) on August 5, 2023

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Chris Okello (Guest) on July 2, 2023

๐Ÿ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 27, 2023

๐Ÿ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2023

๐Ÿ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on June 18, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! ๐Ÿ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2023

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on February 13, 2023

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2023

๐Ÿ˜ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Adhiambo (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2023

๐Ÿ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 7, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 19, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

Ann Awino (Guest) on November 29, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Samson Tibaijuka (Guest) on November 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Omar (Guest) on October 1, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Chum (Guest) on August 29, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Janet Sumaye (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 25, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜„

Diana Mumbua (Guest) on July 15, 2022

๐Ÿคฃ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

David Musyoka (Guest) on July 1, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Shukuru (Guest) on June 24, 2022

๐Ÿ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Kevin Maina (Guest) on May 25, 2022

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Michael Mboya (Guest) on May 22, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Janet Mbithe (Guest) on May 15, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 5, 2022

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Azima (Guest) on April 16, 2022

๐Ÿ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Mbise (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 9, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

George Mallya (Guest) on March 27, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! โฐ

Related Posts

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :ย Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulizeโ€ฆ

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More