Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Fikiri (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Binti (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on June 13, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 5, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 3, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 28, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Frank Sokoine (Guest) on December 21, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on December 19, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 8, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yusuf (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on October 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on September 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 11, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on August 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Khatib (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on June 18, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on February 13, 2023

😊🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Adhiambo (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 7, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 19, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on November 29, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on November 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Omar (Guest) on October 1, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chum (Guest) on August 29, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 25, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on July 15, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

David Musyoka (Guest) on July 1, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shukuru (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on May 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on May 22, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on May 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Azima (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Mbise (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 9, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 27, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More