Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
โ˜ฐ
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsAppโ€ฆ!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

โ€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yakeโ€ฆ Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniulizaโ€ฆ*

_Hao wanawake unawajuwa, โ€ฆmume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweliโ€ฆ!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaaโ€ฆ!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaaโ€ฆ! Akaniandikia message nyingineโ€ฆ.

*โ€ฆNakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupeโ€ฆ Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuriโ€ฆ!*

Nami nikamjibuโ€ฆ

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipoโ€ฆ!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdaiโ€ฆ!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaaโ€ฆ. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chum (Guest) on December 4, 2019

๐Ÿ˜… Nilihitaji hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 30, 2019

๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on November 1, 2019

Nimecheka hadi machozi ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Miriam Mchome (Guest) on October 29, 2019

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Grace Minja (Guest) on October 3, 2019

๐Ÿ˜† Ninakufa hapa!

Robert Okello (Guest) on September 10, 2019

๐Ÿ˜† Hii imenigonga kweli!

Sekela (Guest) on August 29, 2019

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on August 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Mwinyi (Guest) on July 3, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! ๐Ÿ˜

Kiza (Guest) on June 10, 2019

๐Ÿคฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Miriam Mchome (Guest) on June 8, 2019

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Wande (Guest) on June 4, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! ๐Ÿ˜‚

Sarah Karani (Guest) on May 23, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐Ÿ†

Muslima (Guest) on May 16, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! ๐Ÿ˜„

Paul Kamau (Guest) on May 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Grace Wairimu (Guest) on April 30, 2019

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Irene Makena (Guest) on April 10, 2019

๐Ÿ˜† Bado nacheka!

Jamila (Guest) on April 8, 2019

๐Ÿ˜ Hii ni dhahabu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 3, 2019

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Anna Malela (Guest) on April 2, 2019

๐Ÿ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

George Mallya (Guest) on March 14, 2019

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 22, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ๐Ÿ†

Ann Awino (Guest) on January 24, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Jane Muthoni (Guest) on January 23, 2019

Hii ni joke ya kipekee! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on January 2, 2019

Hii imenifurahisha kweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 23, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Ruth Mtangi (Guest) on December 10, 2018

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Samuel Omondi (Guest) on September 29, 2018

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Omar (Guest) on September 29, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaโ€”imebamba! ๐Ÿคฃ

Amani (Guest) on September 25, 2018

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii na kila mtu!

Agnes Njeri (Guest) on August 31, 2018

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on August 27, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Victor Mwalimu (Guest) on August 18, 2018

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Frank Macha (Guest) on August 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Athumani (Guest) on June 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! โฐ

Mchuma (Guest) on June 16, 2018

๐Ÿ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

David Chacha (Guest) on May 30, 2018

Hii imenikuna sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Maimuna (Guest) on April 27, 2018

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jane Malecela (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Jane Muthui (Guest) on March 12, 2018

๐Ÿ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Victor Sokoine (Guest) on February 13, 2018

Hii ni bomba sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘

Charles Mboje (Guest) on January 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Ann Awino (Guest) on January 1, 2018

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini!

Amani (Guest) on December 25, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! ๐ŸŽฏ

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2017

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mahiga (Guest) on December 20, 2017

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Sokoine (Guest) on December 15, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Henry Mollel (Guest) on December 10, 2017

Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 18, 2017

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 16, 2017

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on October 31, 2017

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on October 17, 2017

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Nchi (Guest) on October 4, 2017

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on August 31, 2017

Hii ni ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on August 11, 2017

Nimefurahia sana hii joke! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on August 1, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

John Kamande (Guest) on July 31, 2017

Hii ni joke ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on July 27, 2017

๐Ÿ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kahina (Guest) on July 12, 2017

๐Ÿ˜‚ Kali sana!

Related Posts

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:ย Roysambu ni ngapi?
Makanga:ย Roysambu ni moja tu. ... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza ๐Ÿบ huwa hailet... Read More
Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisemaโ€ฆ. "Baba n... Read More