Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Mallya (Guest) on July 25, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Josephine Nduta (Guest) on July 6, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Sumari (Guest) on June 6, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on June 6, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Lowassa (Guest) on May 20, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on May 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Issa (Guest) on May 6, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edith Cherotich (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on March 29, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on March 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on March 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on March 7, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Mwita (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on January 11, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on January 5, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on January 3, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 4, 2021

🀣πŸ”₯😊

Ruth Wanjiku (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on November 8, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on October 27, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 23, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Binti (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Ochieng (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Charles Mrope (Guest) on September 11, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nchi (Guest) on September 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 31, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Mahiga (Guest) on August 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on May 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on January 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shabani (Guest) on January 29, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Susan Wangari (Guest) on January 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Chris Okello (Guest) on November 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on October 29, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Asha (Guest) on September 27, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on September 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on September 11, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 27, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on July 25, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on July 25, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joyce Aoko (Guest) on June 5, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on May 8, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mrope (Guest) on May 3, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 24, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on April 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on March 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Farida (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Ann Wambui (Guest) on January 7, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More