Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tabia za Kimama kwa wanaume

Featured Image

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume kupiga picha umeng'ata Lips na Unapiga na Camera Beauty Plus huo ni UMAMA..πŸ˜‚

3, Mwanaume kuangalia tamthilia na Jamai Raja na Maigizo kwenye chanel ya sinema zetu wakati mechi za kombe la dunia zinaendelea, pia nawe ni MMAMAAβ€¦πŸ˜‚πŸ˜‚

4, Mwanaume kuandika 'Jomon' badala ya Jamani, kuandika 'Pw' badala ya Poa, kuandika 'Thatha' badala ya Sasa, kumwandikia mwanaume mwenzio 'Mambo my' Huu ni UDADA, tena UDADA wa CHUO..πŸ˜‚
.
5, Mwanaume kunywa soda au Juice na kubakisha, kununua chakula halafu unakibakisha, kubagua bagua chakula na kujamba hovyo hovyo baada ya kushiba, huo nao ni UMAMAA..πŸ˜‚
.
6, Mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzio anapata faida gani kuangalia Mpira, pia nawe ni MMAMA…
.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Akinyi (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 21, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on March 18, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on March 17, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on March 16, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Mbithe (Guest) on March 11, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on February 7, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 2, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on January 27, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on December 30, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on December 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on December 22, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Kawawa (Guest) on December 8, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on November 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zakia (Guest) on October 30, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mushi (Guest) on October 15, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Saidi (Guest) on October 12, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nora Kidata (Guest) on October 7, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Mrope (Guest) on September 16, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on September 8, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on August 31, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Lissu (Guest) on August 28, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwajabu (Guest) on August 7, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on August 4, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on July 30, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 1, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on June 6, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on May 24, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Halima (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

George Ndungu (Guest) on April 21, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 1, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Anna Mchome (Guest) on February 22, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 20, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumari (Guest) on January 30, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Abdullah (Guest) on January 22, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on January 20, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on January 7, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on December 22, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on December 9, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nyota (Guest) on November 24, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on November 24, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 15, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on October 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jamila (Guest) on October 29, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on October 8, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 28, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Fatuma (Guest) on August 23, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on June 30, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on June 30, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anna Sumari (Guest) on June 25, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Irene Makena (Guest) on June 5, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on June 5, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on May 28, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Brian Karanja (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 13, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More