Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image
Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa
kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki;
MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za
kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa
mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu
atakubariki zaidi

PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri
mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu,
huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya
kulevya.
MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia
kwa kujenga eneo la choo we toa tu!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nekesa (Guest) on November 3, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on November 3, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on October 27, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on October 16, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Elizabeth Malima (Guest) on October 3, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Leila (Guest) on September 18, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Alice Mrema (Guest) on August 31, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Tabitha Okumu (Guest) on August 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nora Kidata (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Brian Karanja (Guest) on June 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on June 6, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Mushi (Guest) on May 18, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Raha (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joyce Aoko (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on March 7, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on March 1, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Margaret Anyango (Guest) on February 26, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joseph Njoroge (Guest) on January 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on December 26, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lydia Mahiga (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Rukia (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on December 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on November 30, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Anna Malela (Guest) on October 16, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on August 31, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Masika (Guest) on August 12, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joseph Mallya (Guest) on August 1, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Miriam Mchome (Guest) on July 17, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on July 16, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on July 2, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on June 13, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 4, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on June 3, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on May 29, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Peter Otieno (Guest) on April 10, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Wanjala (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Nyerere (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Janet Mbithe (Guest) on March 13, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on February 8, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mercy Atieno (Guest) on December 24, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on December 21, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Arifa (Guest) on December 2, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Sokoine (Guest) on November 25, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on November 21, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on September 8, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mwajabu (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Martin Otieno (Guest) on August 15, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mgeni (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Frank Sokoine (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Asha (Guest) on August 5, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 4, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Kawawa (Guest) on June 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on May 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More