01.π Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.
02.π Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03.π Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa kwanza na wa pili.
04.π Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu wote hawana raha.
05.π Wale waliopata Zero na waliokataa shule wanakuwa waganga wa kienyeji, wote hapo juu watamtafuta huyu, pale mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake. πππππππππππππππ
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe