Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
😂😂😂😂😂😂
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 2
Recommended Posts
Duh. Chezeya kuhama!
Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua
Ukata wa January
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax
Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu