Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe “binti” samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, “bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy”
mama mkwe hoii!! Chezea Wakwe Wa Bongo wewe.

236 thoughts on “Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana”

Leave a Reply to Robert Ndunguru Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart