Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac watu wakaanza kutoa 50,000/= 30,000/= na 20,000/=.

Kuna jamaa akatoa 500/=.

MCHUNGAJI akamuita ofisin akamuuliza.

MCHUNGAJI:Ina maana mkeo siyo mzuri?. Jamaa akajibu: Ukimuona utanirudishia na chenji.

😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

236 thoughts on “Hii sasa kali kweli kweli!!”

Leave a Reply to Stephen Malecela Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart