Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamake😀😀😀😀😀😀😀

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
George Tenga

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Mercy Atieno

😄 Umeimaliza kabisa!

Tabitha Okumu

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Sharifa

😆 Hiyo punchline!

Elizabeth Mrope

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop