Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimuβ¦.kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπππππππ
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo
Hili nalo neno kwa wavulana
Tofauti ya mke na mchepuko!!!
Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande
Maisha ya kijijini hadi raha!!
Wasichana wa leo
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!