Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Lydia Mahiga

Hii imenikuna sana! 😆😅

Khalifa

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Kimaro

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Nancy Komba

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

John Mwangi

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop