MUME: Fungua mlango!
MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.
Hii imenikuna sana! 😆😅
🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!