Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu tu nikachukua nguo zangu,mwishoni nikambeba na yeye nikamuweka begani nikaanza kuondoka nae

hua sipendagi ujinga, amesahau na yeye pia ni wangu

237 thoughts on “Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana”

Leave a Reply to Miriam Mchome Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart