Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja,
Mhudumu: kaka nikuhudumie nini,
Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
Mhudumu: dada na wewe?
Demu akajibu kwa pozi tena kwakujishaua, “NA MIMI NILETEE MENU LIST ILA USIWEKE CHUMVI NYINGI”
Chezea mbulula weweβ¦!!!
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi
Balaa la mitoto isiyopenda shule
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!
Duh, hii sasa kazi
Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status