Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Fikiri (Guest) on June 12, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kawawa (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on November 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on October 26, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Aziza (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Lissu (Guest) on September 26, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

David Musyoka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salma (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on August 1, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on July 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Salma (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on June 29, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on June 28, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on May 16, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faiza (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on March 19, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on March 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Abubakari (Guest) on March 9, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on February 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Frank Macha (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jacob Kiplangat (Guest) on February 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Njuguna (Guest) on January 21, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on January 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on November 6, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 3, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mjaka (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hamida (Guest) on October 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Mwalimu (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maulid (Guest) on August 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rubea (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 7, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More