Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Philip Nyaga (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on July 7, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zakia (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raha (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on May 18, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Frank Sokoine (Guest) on April 24, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James (Guest) on April 19, 2024

Joke

James (Guest) on April 19, 2024

Funny

Joseph Kiwanga (Guest) on March 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 17, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on March 16, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Ochieng (Guest) on February 29, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on February 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Robert Ndunguru (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rabia (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Wanjiru (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nassar (Guest) on August 24, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on August 23, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Linda Karimi (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Rehema (Guest) on July 24, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Patrick Kidata (Guest) on July 17, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shukuru (Guest) on June 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on April 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Lissu (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Khatib (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Faith Kariuki (Guest) on February 17, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

John Lissu (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on December 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rahma (Guest) on October 4, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on October 2, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on September 15, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on August 22, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mboje (Guest) on August 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on June 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Kitine (Guest) on June 13, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 2, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Frank Sokoine (Guest) on May 14, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jafari (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on April 21, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on March 23, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More