Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm…nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani…
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani… Acha mawazo mabaya ww???

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 8, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 22, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on June 19, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on June 2, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on June 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Catherine Naliaka (Guest) on March 7, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on March 2, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on January 14, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on December 28, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 16, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Violet Mumo (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Dorothy Nkya (Guest) on December 2, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 1, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on November 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on October 10, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Mbithe (Guest) on October 7, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Malisa (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Samuel Were (Guest) on September 21, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Tabitha Okumu (Guest) on July 31, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Makame (Guest) on July 25, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Tabu (Guest) on May 27, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Ndungu (Guest) on May 23, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Zubeida (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Kawawa (Guest) on March 20, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Moses Kipkemboi (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on October 14, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on October 4, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kassim (Guest) on September 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on September 5, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 2, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on August 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 18, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Warda (Guest) on July 8, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Paul Ndomba (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwajabu (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Peter Otieno (Guest) on May 28, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 17, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on February 25, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Bahati (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nekesa (Guest) on February 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Muslima (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Muslima (Guest) on December 11, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jaffar (Guest) on November 16, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Halimah (Guest) on November 9, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Related Posts

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More