Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Featured Image

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Maria Bikira Milele, na mkubwa wa Familia Takatifu. Umechaguliwa na Mwakilishi wa Kristu kama Msimamizi wa kimbingu na mlinzi wa Kanisa alilolianzisha Kristu. Ndiyo maana ninakuomba kwa matumaini makuu usaidizi wako wenye nguvu kwa ajili ya Kanisa zima duniani.

Mlinde kwa namna ya pekee, kwa upendo wa kikweli wa ki-baba, Baba Mtakatifu na Maaskofu wote na Mapadre wenye ushirika na Kiti cha Petro. Uwe mlinzi wao wote wanaotumikia wokovu wa wanadamu kati ya majaribu na mahangaiko ya maisha haya, na utujalie kwamba watu wote wa dunia hii wamfuate Kristu na Kanisa alilolianzisha.


Mpendwa Mtakatifu Yosefu, ukubali majitoleo ya nafsi yangu ambayo sasa ninafanya. Ninajiweka wakfu kwako kwa ajili ya utumishi wako, ili daima wewe uwe baba yangu, mlinzi wangu, na kiongozi wangu katika njia ya wokovu. Unijalie usafi mkuu wa moyo na matamanio makuu ya maisha ya kiroho. Unijalie ili matendo yangu yote, kwa mfano wako, yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu, pamoja na Moyo wa kimungu wa Yesu, moyo safi wa Maria, na moyo wako wa ki-baba. Uniombee, nami nishiriki kifo chako cha furaha na kitakatifu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Nkya (Guest) on August 17, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mwanaidi (Guest) on July 17, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Michael Mboya (Guest) on May 23, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Daniel Obura (Guest) on March 6, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Grace Mligo (Guest) on February 5, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Peter Tibaijuka (Guest) on December 5, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Moses Kipkemboi (Guest) on November 17, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

David Chacha (Guest) on October 5, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Njeri (Guest) on July 16, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Mercy Atieno (Guest) on June 2, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Joseph Mallya (Guest) on April 26, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

John Lissu (Guest) on April 25, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Robert Okello (Guest) on April 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Kawawa (Guest) on April 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mercy Atieno (Guest) on March 25, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Anna Kibwana (Guest) on March 19, 2016

Rehema hushinda hukumu

Benjamin Masanja (Guest) on March 11, 2016

Mungu akubariki!

Grace Majaliwa (Guest) on November 1, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on July 3, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Mligo (Guest) on May 31, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Nancy Kabura (Guest) on May 19, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Mrope (Guest) on May 16, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Mary Mrope (Guest) on April 23, 2015

Amina

Related Posts

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More