Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Lissu (Guest) on March 6, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ali (Guest) on February 7, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on January 23, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 12, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mashaka (Guest) on December 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 23, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 13, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Mahiga (Guest) on December 12, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mchawi (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on November 10, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kenneth Murithi (Guest) on October 31, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zuhura (Guest) on October 28, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam (Guest) on October 10, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Kiwanga (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joyce Aoko (Guest) on October 6, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on October 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on September 23, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Mahiga (Guest) on August 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Malima (Guest) on August 2, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on July 24, 2021

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on June 27, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 21, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 9, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 4, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Janet Sumaye (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jamila (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mercy Atieno (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kiza (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on April 8, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Habiba (Guest) on March 27, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Raphael Okoth (Guest) on March 16, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine Nekesa (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Amir (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Kimario (Guest) on January 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mohamed (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on November 14, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ruth Mtangi (Guest) on September 18, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Hassan (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Frank Macha (Guest) on August 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 12, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on July 29, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on July 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on June 21, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

George Mallya (Guest) on June 15, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on May 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwafirika (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on April 12, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More