Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:

SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako…

Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.

Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:

BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au…?

SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kassim (Guest) on July 21, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on July 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 23, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Lucy Mahiga (Guest) on May 16, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on May 16, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on April 28, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Shamim (Guest) on April 14, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on April 11, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Benjamin Masanja (Guest) on February 16, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Stephen Kangethe (Guest) on February 13, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Susan Wangari (Guest) on February 12, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on January 14, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Francis Njeru (Guest) on November 5, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Salima (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Betty Akinyi (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Irene Akoth (Guest) on September 16, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Lowassa (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 8, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Maida (Guest) on July 31, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Kawawa (Guest) on July 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on July 23, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Charles Mboje (Guest) on July 19, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Violet Mumo (Guest) on June 22, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Kidata (Guest) on June 6, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on June 2, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jaffar (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Francis Mrope (Guest) on April 20, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on March 25, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on March 5, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on February 15, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Mwikali (Guest) on February 2, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on January 11, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on January 2, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nancy Komba (Guest) on December 8, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 23, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mashaka (Guest) on November 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Wanyama (Guest) on October 23, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Daudi (Guest) on September 29, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nyota (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on September 8, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwajuma (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mzee (Guest) on July 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Sharon Kibiru (Guest) on July 20, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Paul Ndomba (Guest) on July 5, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

George Tenga (Guest) on June 23, 2022

😊🀣πŸ”₯

Abubakari (Guest) on June 20, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More