Njia ya Kumrudia Mungu

Njia pekee ya Kumrudia Mungu tunapoanguka dhambini ni Njia ya Toba ya kweli ikiambatana na kukiri makosa na kusamehewa. Mara nyingi tunapotubu tunasahau dhambi za mawazo na kukumbuka za matendo tuu. Dhambi ya Mawazo pia ni dhambi yapaswa toba na maondoleo.

50 thoughts on “Njia ya Kumrudia Mungu”

Leave a Reply to Diana Mallya Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart