Ndiyo! Dawa yoyote i itakayotumiwa pasipo mahitaji sahihi au kwa kipimo zaidi ya kinachopendekezwa i inaweza kuwa hatari na pengine husababisa kifo. Mara zote sikiliza kwa makini maelekezo yatolewayo na madaktari au wauzaji wa dawa. Usichanganye dawa na pombe au dawa nyingine kwani kwa hakika kufanya hivyo ni hatari.
Je, inawezekana kuwa ni hatari kutumia Valium au Klorokwini au dawa nyingine ambazo zinapatikana katika maduka ya dawa?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono?
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono? ππ
Leo tutajadili j... Read More
Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?
Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano? Hili ni swali amb... Read More
Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi
Kwa vijana mara nyingine siyo rahisi kufahamu afanye nini mara anapopata ashiki (hamu) ya kutaka ... Read More
Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?
Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza... Read More
Je, mtu anaweza kuzuia kupata mimba baada yakujamiiana bila kinga (kufanya ngono zembe) kwa mfano amebakwa?
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha a...
Read More
Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?
Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya hisia na utambuzi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari rafiki yangu! Leo tuzungumzie suala muhimu sana ambalo linapaswa kujadiliwa katika uhusian... Read More
Je, mawasiliano ni muhimu katika kuboresha uzoefu wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, wewe na mwenzi wako mnahisi kama hamjawai kufurahia tendo la ndoa? Kila wakati mnafikiri kuwa... Read More
Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Shule?
Je, ni sahihi kufanya ngono na mpenzi wako wa shule? Hii ni swali muhimu ambalo vijana wengi huji... Read More
Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Shinikizo la Kutaka Kupendwa?
Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Shinikizo la Kutaka Kupendwa? π€
Kuna wakati maish... Read More
Nini matokeo ya unusaji/uvutaji wa petroli kwa vijana?
Kama kijana akinusa au kuvuta petroli kupitia puani au mdomoni, petroli hiyo huingia kwenye mapaf... Read More
Kwa nini jamii inatuchukia sisi Albino?
Siyo watu wote katika jamii wanawachukia au kuwatenga Albino.
Wazazi, ndugu zenu, rafiki zen...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!