Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nikishatambua kwamba nina mimba, nifanye nini?

Featured Image

Ukishatambua kwamba una mimba kuna mambo mbalimbali tofauti ya kufanya. Kwanza kabisa mweleze mwenzi wako na mshauriane hatua zipi mchukue. Pia, kwa msichana mdogo lazima uwaeleze wazazi wako. Siyo rahisi kuwaambia wazazi, kwa sababu hawatafurahi kuhusu ujumbe huu. Lakini uhusiano mzuri na wazazi unaweza kuwasaidia sana katika kulea mimba na baadaye mtoto.
Kwa upande wa kiafya ni muhimu sana kuanza kuhudhuria kliniki au hospitali mapema, yaani kabla ya mimba kufikisha miezi mitatu. Hii huwawezesha wataalamu kukupima na kukupa ufafanuzi kuhusu afya yako na maendeleo ya mimba. Vilevile wanaweza kugundua matatizo kama yatakuwepo na kukutibu mapema. Kwa usalama wako na usalama wa mtoto hakikisha kuyafuata maelekezo ya wataalamu kila mara.
Wasichana au wanawake wengine wanafikiria kutoa mimba mara tu wanapokuta wamepata mimba bila ya kupangilia. Kutoa mimba ni jambo la hatari sana na linaweza kuleta madhara kiafya kwa mwanamke, na hasa utoaji mimba unaofanywa na mtu ambaye hakusomea na pia katika mazingira yasio safi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?

Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k... Read More

Je, umewahi kujaribu njia mpya za kufurahisha katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, umewahi kujaribu njia mpya za kufurahisha katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, umewahi kujaribu njia mpya za kufurahisha katika ngono/kufanya mapenzi?

Kama wewe ni m... Read More

Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu?

Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu?

Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu? πŸ€”

Karibu vijana! Leo tutaz... Read More

Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Kujikinga na Mimba

Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Kujikinga na Mimba

Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wako kuhusu Kujikinga na Mimba

Karibu sana marafiki zangu! L... Read More

Vidonge vya kuzuia mimba vinasababisha vidonda vya tumbo?

Vidonge vya kuzuia mimba vinasababisha vidonda vya tumbo?

Wanawake wengine wanapata vidonda vya tumbo, lakini haya hayana uhusiano na vidonge vya kuzuia mi... Read More

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi ni jambo muhimu sana. Kila mtu anap... Read More

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende 🌟

Karibu sana kwenye makala hi... Read More

Njia za Kupata Msichana Anayeshiriki Maslahi yako na Malengo

Njia za Kupata Msichana Anayeshiriki Maslahi yako na Malengo

Kupata msichana ambaye anashiriki malengo yako na ana maslahi sawa nawe ni muhimu sana kwa mafani... Read More

Kama wameoana mume na mke na ikatokea hawapati mtoto, je, utajuaje kuwa tatizo liko kwa mwanamke au mwanaume?

Kama wameoana mume na mke na ikatokea hawapati mtoto, je, utajuaje kuwa tatizo liko kwa mwanamke au mwanaume?

Kwa wastani i i inachukua kama muda wa mwaka mmoja kwa mwanamke kuanza kupata ujauzito, wakikutan... Read More

Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye β€œpeku”?

Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye β€œpeku”?

Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaum... Read More

Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?

Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?

Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaa... Read More

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au... Read More