Mimba i inatungwa wakati yai la kike linaporutubishwa na mbegu za kiume. Kama tulivyoona hapo juu, jinsia ya mtoto i inategemea aina ya mbegu za kiume. Nusu ya mbegu za mwanaume zinatengeneza mtoto wa kiume na nusu ya mbegu zinatengeneza mtoto wa kike. Lakini wanaume hawana uwezo wa kuamua aina ya mbegu i itakayorutubisha yai. Kwa hiyo, haiwezekani kupanga. Jinsia ya mtoto i nategemeana na bahati tu.
Je, unaweza kupanga kuzaa aina ya watoto, yaani wa kiume au wa kike tu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Sheria kuhusu kufanya punyeto
Punyeto ni kupapasa au kusugua kiungo cha uzazi ili uweze kupata
starehe. Hakuna kosa kwa te...
Read More
Msichana ambaye hajawahi kujamiiana anaitwa bikira, je mvulana huitwaje?
Neno βbikiraβ ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwana... Read More
Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?
Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? πΈ
Asante kwa kujiunga nami katika mak... Read More
Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?
Hapana, huwezi ukarithi uvutaji wa bangi. Lakini mara nyingi watoto huiga tabia za wazazi wao. Wa... Read More
Je, madhara gani yatawapata wasichana na wavulana wanaojamiiana kwa kutumia sehemu ya haja kubwa?
Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wa kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Leo, tutazungumzia kuhusu mbinu za kuleta msisimko wa kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi. Ni... Read More
Jinsi ya kujikinga na ubakaji
Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaa... Read More
Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenz... Read More
Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana
Kumbukumbu zetu ni muhimu sana katika maisha yetu. Siku ya kumbukumbu ni siku muhimu sana kwa sab... Read More
Je, Uvutaji wa sigara unafurahisha na kuchangamsha?
Ndiyo, lakini ni mwanzo tu na kwa muda mfupi; hii ni kwa
sababu mwanzoni nikotini iliyomo ka...
Read More
Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?
Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kuba...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!