Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kwani Albino hawatakiwi kuishi duniani?

Featured Image

Albino ni binadamu kama alivyo binadamu mwingine na ana haki
sawa za kuishi na kufaidi kuwepo kwake hapa duniani kama
ilivyo kwa binadamu wengine. Kuua Albino kwa sababu yoyote
ile ni jambo baya sana ambalo linakemewa na serikali, dini zote,
na kila mwanadamu mwenye akili timamu na maadili ya utu na
watetea haki za binadamu.
Kitendo hiki vilevile kinapingana na haki za binadamu kwa hiyo
wavunjaji wa haki hizi wanashtakiwa kisheria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, kuna matatizo yoyote kama mdomo wa msichana utagusana na shahawa?

Je, kuna matatizo yoyote kama mdomo wa msichana utagusana na shahawa?

Kama mpenzi wako hatakuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa hakuna madhara ya kiafya. kama shaha... Read More

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?

Wengi wa waathirika wa dawa za kulevya hukataa matatizo yao. Hudanganya kwa sababu hawataki kukub... Read More

Je, kuna umuhimu wa kuwa na uelewa wa afya ya uzazi na uzazi katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kuwa na uelewa wa afya ya uzazi na uzazi katika ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki! Leo, ningependa kuzungumza nawe kuhusu umuhimu wa kuwa na uelewa wa afya ya u... Read More

Jinsi ya Kujilinda na Mimba Bila Kusababisha Madhara ya Kiafya?

Jinsi ya Kujilinda na Mimba Bila Kusababisha Madhara ya Kiafya?

Jinsi ya Kujilinda na Mimba Bila Kusababisha Madhara ya Kiafya? 😊🌼

Karibu kijana! Le... Read More

Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai

Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai

Mapenzi ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila mwanadamu, na kwamba uhusiano wa kimapenzi ni s... Read More

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ... Read More

Wanawake wanaweza kulewa haraka kuliko wanaume?

Wanawake wanaweza kulewa haraka kuliko wanaume?

Wasichana na wanawake wanaweza kulewa kwa ujumla.
Mara nyingi, hulewa pombe haraka kuliko wa... Read More

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?

Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ... Read More

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa ka... Read More

Ualbino unarithiwa vipi?

Ualbino unarithiwa vipi?

Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafa... Read More

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono?

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono?

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? 🌟

Asante kwa ku... Read More

Mafuta kwenye kondomu

Mafuta kwenye kondomu

Mafuta yanayowekwa kwenye pakiti ya kondomu ni mafuta maalum na yana kazi ya kuhifadhi kondomu mp... Read More