Mahitaji
Ndizi – 15 takriiban
Nayma ya ng’ombe – 1 kilo
Kitunguu maji – 1
Nyanya – 3
Kitunguu saumu(thomu/galic) kilosagwa – 1 kijiko cha supu
Tangawizi mbichi ilosagwa – 1 kijiko cha supu
Pilipili mbichi ilopondwa – 2
Jira/cummin/bizari ya pilau ilosagwa – 1 kijiko cha chai
Ndimu – 1
Chumvi – kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Chemsha nyama kwa ndimu, chumvi na tangawizi mbichi na kitunguu thomu.
Menya ndizi na zikatekate vipande kiasi, weka katika sufuria.
Katakata kitunguu na nyanya utie katika ndizi.
Tia jira na chumvi.
Nyama ikiwiva mimina pamoja na supu yake ufunike ndizi ziwive na kuwa tayari kuliwa.
Ukipenda tia pilipili mbuzi zichemke pamoja na ndizi.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Upishi wa Afya kwa Ajili ya Afya ya Moyo: Kitamu na Kilainishi
Jinsi ya kutengeneza Slesi Za Chokoleti Na Karameli
Mapishi ya Pilau Ya Sosi Ya Soya Na Mboga
Sanaa ya Upishi Imara: Kupata Lishe Muhimu
Mapishi ya wali Wa Nazi Kwa Mchuzi Wa Nyama Ng’ombe Na Mchicha
Jinsi ya kupika Mgagani
Jinsi ya kupika Wali Wa Sosi Ya Tuna
Jinsi ya kupika Biriani Ya Nyama Mbuzi Ya Mtindi Na Zaafaraan