Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa kutokana na kuwa na harufu kali inayosaidia kuwafukuza wadudu kama vidukari, bungo na hata panya.
Hatua za kufuata kutengeneza dawa ya kitunguu saumu
- Saga kitunguu saumu kimoja,
- Changanyakwenye lita moja ya maji
- Nyunyizia kwenye mazao.
Namna nyingine ya kutengeneza dawa
- Unaweza pia kusaga vitunguu saumu 3,
- kishachanganya na mafuta taa,
- acha ikae kwa siku tatu,
- kisha ongeza lita 10 za maji ya sabuni na unyunyizie.
Hii itaondoa aina nyingi sana ya wadudu wanaosababisha magonjwa.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya kuandaa mbangimwitu kama Dawa ya magonjwa na ya kuulia wadudu shambani
Namna ya kukabiliana na Magonjwa ya kuku
Jinsi ya Kulima Mgagani: Kilimo bora cha Mgagani
Namna ya kulisha kuku ili wasipatwe na magonjwa
Jinsi ya kumlisha n’gombe anayekamuliwa atoe maziwa mengi
Namna ya kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara wa banda la kuku kuzuia magonjwa
Mambo Ya Kuzingatia Kuongeza Utagaji Wa Kuku
Ufugaji wa nguruwe na faida zake