Mara nyingi tumekua tukiomba lakini hatupati, sababu zinaweza zikawa hizi ;
1. Mawazo na matarajio yetu
Mara nyingi tunajifunga kwenye maombi yetu pale tunapoomba na kisha kuanza kuwaza “hivi Mungu atanipa kikubwa au kidogo au atanisaidia sana au kidogo” Au tunaomba halafu tunakua na matarajio tofauti na kile tunachoomba. Aidha tunatarajia kupata kidogo au kikubwa.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu kizuizi kwenye maombi yako. Yaani kumuongoza Mungu afanye kwa kiasi kile unachofikiri.
2. Kulenga kutizamwa na watu.
Hii ni kuomba kwa majivuno yaani kuomba ili ukishapata watu waone kuwa umepata.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan’ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan’ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu ukuta kwenye maisha yako.
Namna njema ya kuomba ni hii
1. Kutokuomba mambo makuu sana ambayo huna haja nayo na hayana maana katika maisha yako.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Nakuombea 🙏
Neema ya Mungu inatosha kwako
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Rehema hushinda hukumu
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Neema na amani iwe nawe.
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mwamini katika mpango wake.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Rehema zake hudumu milele
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Imani inaweza kusogeza milima
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Dumu katika Bwana.
Mwamini Bwana; anajua njia
Sifa kwa Bwana!
Mungu akubariki!
Mungu ni mwema, wakati wote!
Nguvu hutoka kwa Bwana
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Tumaini ni nanga ya roho
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Katika imani, yote yanawezekana
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Endelea kuwa na imani!
Baraka kwako na familia yako.
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe