Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki.
1) KUOMBEA MAREHEMU:
2 Mak. 12:38-46
Hek. 3:1
Tob 4:17
2 Mak. 12:38-46
Hek. 3:1
Tob 4:17
2) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI
2Fal 3:20-21
Hes. 21:8-9
Kut. 25:17-22
Kol. 1:20, 2:14
Yn. 12:32
Mt. 19:11-12
2Fal 3:20-21
Hes. 21:8-9
Kut. 25:17-22
Kol. 1:20, 2:14
Yn. 12:32
Mt. 19:11-12
3) USAHIHI WA MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI KAMA CHANZO CHA IMANI
2 The 2:15
2 Kor. 10:10-11
Yn 21-25
2 Yoh. 1:12
3 Yoh. 1:13
2 The 2:15
2 Kor. 10:10-11
Yn 21-25
2 Yoh. 1:12
3 Yoh. 1:13
4) KUABUDU JUMAPILI BADALA YA JUMAMOSI(SABATO)…. Hasa ni kwa sababu Yesu aliitukuza siku ya kwanza ya juma kwa ufufuko wake na kwa kuwatokea wanafunzi wake siku hiyo.
Ufu 1:10
Mdo 20:7
Mt 28:1-8
Lk. 24:1-7
Lk. 24:13ff
1 Kor. 16:1-2
Yn. 20:1-22
Ufu 1:10
Mdo 20:7
Mt 28:1-8
Lk. 24:1-7
Lk. 24:13ff
1 Kor. 16:1-2
Yn. 20:1-22
5) MAMLAKA YA PAPA KAMA MFUASI AU MRITHI WA MT. PETRO
Yn. 21:15-17
Mt 16:18-19
W 2:1-14
Yn. 21:15-17
Mt 16:18-19
W 2:1-14
6) MAPADRI KUITWA BABA WAKATI BABA NI MMOJA ALIYEKO MBINGUNI
Mwa 17:4
Yer. 7:7
Hes. 12:14
Yn. 6:49
Mt 23:30
Lk. 1:73
Mwa 17:4
Yer. 7:7
Hes. 12:14
Yn. 6:49
Mt 23:30
Lk. 1:73
7) JE BIBLIA INATAMBUA MUUNDO WA UONGOZI WA KANISA?
Efe. 4:11-13
1Tim 5:17-25
1Tim 3:1-7,8-18
Efe. 4:11-13
1Tim 5:17-25
1Tim 3:1-7,8-18
8) JE BIBLIA INASEMAJE KUHUSU TOHARANI.
Isa 35:8, 52:1
Zek 13:1-2
1Kor 3:15
Lk 12:47-48, 58-59
Ufu 21:27
Ebr 12:22-23
Ayu 14:13-17
Isa 35:8, 52:1
Zek 13:1-2
1Kor 3:15
Lk 12:47-48, 58-59
Ufu 21:27
Ebr 12:22-23
Ayu 14:13-17
9) KUHUSU MATUMIZI YA UBANI
Kut 30:34-37
Hes 16:6-7
Law 16:12-13
Lk 1:10
Ufu 8:32
Kut 30:34-37
Hes 16:6-7
Law 16:12-13
Lk 1:10
Ufu 8:32
10) ROZARI IKO KATIKA BIBLIA?
Lk 1:28
Lk 1:42
Lk 1:28
Lk 1:42
11) JE KUTUMIA MAJI YA BARAKA NI MAPENZI YA MUNGU?
2Fal 2:19-22
Yn 5:1-18
Yn 7:37
Hes 19:1-22
2Fal 2:19-22
Yn 5:1-18
Yn 7:37
Hes 19:1-22
12) KWANINI TUNAOMBA WATAKATIFU WATUOMBEE?
Mit 15:8, 15:29
Ayu 42:8
Yak 5:16
Mt 16:19
Mit 15:8, 15:29
Ayu 42:8
Yak 5:16
Mt 16:19
13)KWANINI TUNATUMIA MEDALI, MISALABA, SCAPURALI NA MIFUPA YA WATAKATIFU?
2Fal 13:20-21
2Fal 13:20-21
14) KWANINI TUNAUNGAMA DHAMBI ZETU KWA PADRI
Mt 16:19,1-20
Yak 5:15-16
Mt 16:19,1-20
Yak 5:15-16
15) UBATIZO WA WATOTO WACHANGA UKO KATIKA BIBLIA
Mdo 16:15-33
Mdo 18:8
Mt 28:19
Mdo 10:47-48
Mdo 16:15-33
Mdo 18:8
Mt 28:19
Mdo 10:47-48
16) KUSIMIKWA KWA UTUME
Kut 28:4-43
Kut 28:4-43
17) RANGI ZA KANISA
Kut 27:9-29
Kut 27:9-29
18) MATUMIZI YA MISHUMAA
Kut 25:31-40; 27:20-21
Hes 8:1-4
Kut 25:31-40; 27:20-21
Hes 8:1-4
19) MPAKO WA MAFUTA YA KRISMA
Kut 30:22-32
Kut 30:22-32
20) MPAKO WA MAFUTA YA WAGONJWA
Yak 5:14-15
Yak 5:14-15
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Dumu katika Bwana.
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Endelea kuwa na imani!
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rehema zake hudumu milele
Sifa kwa Bwana!
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Mungu akubariki!
Baraka kwako na familia yako.
Tumaini ni nanga ya roho
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Neema ya Mungu inatosha kwako
Neema na amani iwe nawe.
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Nakuombea 🙏
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Katika imani, yote yanawezekana
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mwamini Bwana; anajua njia
Rehema hushinda hukumu
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Nguvu hutoka kwa Bwana
Mwamini katika mpango wake.
Mungu ni mwema, wakati wote!
Imani inaweza kusogeza milima