Rehema ni nini?
Rehema ni msamaha au ondoleo la adhabu ya dhambi tulizostahili sababu ya dhambi zilizokwisha ondolewa
Rehema hutolewa na nani?
Rehema hutolewa na Kanisa Katoliki kwa kutugawia mastahili ya Yesu Kristo, Bikira Maria na Ya Watakatifu
Kuna Rehema za namna ngapi?
Rehema za namna mbili
1. Rehema kamili
2. Rehema pungufu (Rehema isiyo kamili)
2. Rehema pungufu (Rehema isiyo kamili)
Rehema kamili ni nini?
Rehema kamili ni msamaha wa kufutiwa adhabu zote za muda za dhambi
Rehema isiyo kamili (pungufu) ni nini?
Rehema isiyo kamili (pungufu) ni msamaha wa kupunguziwa adhabu ya dhambi
Adhabu za dhambi huondolewa kwa namna gani? Jinsi ya kupata rehema
Adhabu za dhambi huondolewa kwa;
1. Kufanya malipizi au majuto kamili
2. Kuvumilia taabu na mateso katika maisha
3. Kuvishinda vishawishi na majaribu
1. Kufanya malipizi au majuto kamili
2. Kuvumilia taabu na mateso katika maisha
3. Kuvishinda vishawishi na majaribu
4. Kusali sala mbalimbali
5. Kuomba Misa kwa ajili hiyo.
6. Kusoma neno la Mungu na kulitafakari na kulinganisha na maisha yetu ya kila siku
7. Utakaso wa Toharani kama adhabu hizi hazikuondolewa duniani
5. Kuomba Misa kwa ajili hiyo.
6. Kusoma neno la Mungu na kulitafakari na kulinganisha na maisha yetu ya kila siku
7. Utakaso wa Toharani kama adhabu hizi hazikuondolewa duniani
Kipimo cha Rehema ni nini?
Kipimo cha Rehema hutegemea uzito wa majuto na mapendo mtu aliyonayo kwa Mungu Muumba wake. (1Kor 9:11)
Mtu akitaka kupata Rehema za Kanisa Katoliki yampasa nini?
Mtu akitaka kupata Rehema za Kanisa Katoliki yampasa;
1. Kujua na kufuata utaratibu unaotolewa na Kanisa Katoliki wa kupata Rehema
2. Awe katika hali ya neema ya Utakaso
3. Kufanya matendo yote yanayotakiwa kwa kupata rehema hiyo, kwa mfano;
1. Kujua na kufuata utaratibu unaotolewa na Kanisa Katoliki wa kupata Rehema
2. Awe katika hali ya neema ya Utakaso
3. Kufanya matendo yote yanayotakiwa kwa kupata rehema hiyo, kwa mfano;
a). Hija au Kuhiji katika mwaka wa Jubilei katika Kanisa lililo teuliwa na Askofu
b). Kufanya mafungo – Kama vyama vya kitume
c). Kuzuru makaburi (Kutembelea) yaliyobarikiwa
d). Katika hatari ya kufa padri hutoa rehema pamoja na Sakramenti ya wagonjwa
e). Kusali kwa nia za Baba Mtakatifu
b). Kufanya mafungo – Kama vyama vya kitume
c). Kuzuru makaburi (Kutembelea) yaliyobarikiwa
d). Katika hatari ya kufa padri hutoa rehema pamoja na Sakramenti ya wagonjwa
e). Kusali kwa nia za Baba Mtakatifu
Tumaini ni nanga ya roho
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Nguvu hutoka kwa Bwana
Sifa kwa Bwana!
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Rehema zake hudumu milele
Mwamini katika mpango wake.
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Neema ya Mungu inatosha kwako
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Katika imani, yote yanawezekana
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Mungu ni mwema, wakati wote!
Dumu katika Bwana.
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Endelea kuwa na imani!
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Imani inaweza kusogeza milima
Baraka kwako na familia yako.
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Nakuombea 🙏
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Neema na amani iwe nawe.
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rehema hushinda hukumu
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu akubariki!
Mwamini Bwana; anajua njia
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu