Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi ni kama Ifuatavyo;
Ibada
Ibada mara nyingi huusisha matendo ya kipekee. Ibada inaweza kuwa ya kuabudu, kusifu, kuomba toba na kushukuru
Mfano wa ibada ni, Ibada ya Ijumaa kuu, Ibada ya kuabudu sakramenti kuu
Sadaka
Ni majitoleo kwa Mungu kwa nia ya kuomba, kushukuru, zawadi au kutakasa.
Sadaka ninayoiongelea hapa ni sadaka tofauti na hela/pesa ambayo inapotolewa hupewa binadamu mwingine na sio Moja kwa moja kwa mlengwa (Mungu). Sadaka ninayoiongelea mimi ni sadaka mfano wa ile ya Kaini na Abeli, Mfano wa ile ya Ibrahimu, Mfano wa sadaka alizotoa Musa Jangwani. Naongelea sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya damu ya kuchinjwa.
Sadaka hii inatolewa knisani kwenye adhimisho la ibada ya misa takatifu pale padri anapotolea mkate na divai na kuigeuza kuwa mwili na damu ya kristu.
Kinachofanyika hapa ni matoleo ya sadaka ya mwili na damu ya Yesu aliyoitoa pale msalabani, Pale Mkate na divai vinapogeuzwa mwili na damu ya Yesu basi ni ishara ya Sadaka ya mwili na damu aliyoitoa Yesu.
Mfano wa sadaka ni inapofanyika mageuzi ya Ekaristi pekee bila kwenda na mtiririko wa Misa
Sala
Sala ni kuongea kwa sauti au kimya, kwa nia ya kuomba, kushukuru, kusifu au kutafakari.
Sala inaweza ikawa sala za maombi, shukrani, sifa au tafakari
Mfano wa sala ni, jumuiya za kikatoliki zinapokutana, Sala za kawaida za kila siku mfano Asubuhi, mchana, Jioni
Kumbuka: Sala sio maombi. Sala ni zaidi ya maombi. Sala inaweza ikawa tafakari, maombi, sifa au shukrani
Umuhimu wa Ibada ya misa ya kikatoliki
Ibada ya misa ya kikatoliki imechukua nafasi ya vyote hivi vitatu, sala/maombi, sadaka na ibada. Ukishiriki misa ya Katoliki ni sawa na umeshiriki Ibada, Sawa na umeshiriki maombi na ni Sawa na umeshiriki Sadaka.
Tofauti kati ya misa ya kikatoliki na ibada za madhehebu mengine
Madhehebu menginehayachukui yote mfano inaweza ikawa imefanyika ibada tuu, na maombi bila sadaka.
Kwa hiyo unapohudhuria na kushiriki ibada ambayo sio ya kikatoliki, unakua hujakamilisha misa bali ni ibada na maombi tuu. Unakua umekosa sadaka yani sadaka ya mwili na damu ya Kristu.
Ndiyo maana unatakiwa uudhurie Ibada ya Misa Takatifu ya Kikatoliki.
Tags: huusisha ibada ijumaa inaweza kati kipekee. kristu.. kuabudu kuomba kushukuru kusifu kuu kuwa mara matendo mfano na ni nyingi sadaka sakramenti sala/maombi toba tofauti tumsifu wa ya yesu.
Neema ya Mungu inatosha kwako
Sifa kwa Bwana!
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Dumu katika Bwana.
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Imani inaweza kusogeza milima
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Rehema zake hudumu milele
Mwamini katika mpango wake.
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mungu akubariki!
Endelea kuwa na imani!
Tumaini ni nanga ya roho
Nakuombea 🙏
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mwamini Bwana; anajua njia
Baraka kwako na familia yako.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Rehema hushinda hukumu
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Neema na amani iwe nawe.
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Katika imani, yote yanawezekana