Ni kwa nini tunapata Mateso na shida katika Maisha? Kwa nini Mungu ameruhusu tuteseke?
Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu.
Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.
Mateso yanaweza kuwa malipizi ya dhambi kama adhabu au Majitoleo .
Mtu anaweza kujitesa au kukubali Mateso huku akiyachukulia kama malipizi ya dhambi zake au dhambi za wengine.
Sio rahisi kwa mtu wa kawaida kuweza kukubali au kujitesa kwa ajili ya dhambi hasa kwa dhambi zisizokua zake, Ni watu wachache Wenye fadhila hii. Mfano Watakatifu kama Mt. Faustina aliweza kuchukua Mateso kama malipizi ya dhambi hasa za watu wengine ambapo alikubali magonjwa shida na Kudharauliwa kama malipizi ya dhambi.
Yesu mwenyewe pamoja na Umumgu na Enzi yake alikubali Mateso kama Malipizi ya dhambi za watu na Kama njia ya Kuonyesha Unyenyekevu na Upendo.
Kumbuka, Mateso ni njia ya Kuonyesha unyenyekevu, Upendo na Kujitolea kwa hiyo ni kama malipizi na majitoleo hivyo sio lazima mtu ateseke au Ajitese ili aokolewe au aingie Mbinguni.
Mungu hapendi mtu ateseke ila anakubali Mateso kama njia ya kupima mtu na kumtakatifuza.
Mateso = Malipizi = Majitoleo = Kipimo cha Imani na Matumaini kwa Mungu
KUMBUKA: Ni kwa njia ya Mateso na Kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo sisi tuliokolewa. Mababu wote Kwenye Biblia na Manabii walipitia dhiki na Mateso, Hata mitume nao waliteseka
Sio mara zote Mateso na Shida maana yake ni kuachwa na Mungu au Kuadhibiwa na Mungu, mara nyingine mateso ni majaribu, kipimo cha Imani na njia ya kujivika Utakatifu.
Mungu anakupenda sana, mtumainie yeye. Yote yanapita lakini yeye atasimama milele.
Mungu na Akubariki na kukupa Faraja.
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Mwamini Bwana; anajua njia
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Tumaini ni nanga ya roho
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ni mwema, wakati wote!
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Neema ya Mungu inatosha kwako
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Tumaini ni nanga ya roho
Baraka kwako na familia yako.
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Dumu katika Bwana.
Mungu akubariki!
Dumu katika Bwana.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Rehema zake hudumu milele
Katika imani, yote yanawezekana
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Imani inaweza kusogeza milima
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Nakuombea 🙏
Endelea kuwa na imani!
Neema na amani iwe nawe.
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mwamini katika mpango wake.
Rehema zake hudumu milele
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Rehema hushinda hukumu
Sifa kwa Bwana!
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mwamini Bwana; anajua njia
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mungu akubariki!
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Rehema hushinda hukumu
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Sifa kwa Bwana!
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Neema ya Mungu inatosha kwako
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Endelea kuwa na imani!
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Nakuombea 🙏
Imani inaweza kusogeza milima
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Neema na amani iwe nawe.
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Katika imani, yote yanawezekana
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Baraka kwako na familia yako.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Nguvu hutoka kwa Bwana
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Nguvu hutoka kwa Bwana
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mwamini katika mpango wake.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi