1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa hapo kwisha habari yako
2. Kufanya umwogope shetani na nguvu zake kuliko unavyompenda MUNGU. Wakristo wengi leo hii husali na kuomba kwa nguvu mno siyo sababu wanampenda MUNGU mno hapana ni sababu wanamwogopa shetani na majeshi yake na muda mwingine hata watumishi wa MUNGU wanamsaidia kwa kuhubiri mno na muda mwingine kuongeza jumvi juu ya nguvu za giza kuna wahubiri huambatanisha kila kitu na vifungo vya nguvu za giza na kusahau kuhubiri uzuri na wema wa MUNGU kwetu.
3.Kutufanya tusahau uwepo wake au kuupuzia. pale tunapokuwa hatupay attention existance ya shetani yeye ndio hupata wakati mzuri wa kutupiga ,sababu ni rahisi mno kutouutambua ubaya wa dhambi kama hatutaamini uwepo wa shetani ktk uovu…hii hutupelekea kutenda dhambi na kuziona siyo dhambi mfano kwa wasomi wengi hupuuzia baadhi ya mambo kama kujilinda na zinaa wakiamini ni kupitwa na wkt kama utakuwa hauna mahusiano ya kingono mpaka umefika chuo kikuu tena huchukulia wasiokuwa hivyo ni wagonjwa.hapo ni kuwa wengi wameignore uwepo wa shetani “no devil no evil” hivyo watu ndio hupotea.
4.KUTUTIA MOYO WAKATI WA KUTENDA DHAMBI NA KUTUKATISHA TAMAA YA KUSAMEHEWA. nitatoa mfano huu mtu ambaaye anataka kufanya uzinzi shetani humtia moyo kuwa MUNGU anajua kuwa sisi ni binadamu dhaifu na yeye husamehe dhambi zetu daima lakini ifikiapo wakati ukataka kutubu hafanya kila njia kukukatisha tamaa ya kusamehewa na hututia aibu hata kutsmka kwa padri kuwa nimedhini maana huanza kufikiria padre atanionaje mimi.
BASI NDUGU TUSISINZIE BALI TUWE MACHO DAIMA MSHITAKI WETU YU MACHO KUTUJARIBU.
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mwamini Bwana; anajua njia
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mungu akubariki!
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Nakuombea 🙏
Imani inaweza kusogeza milima
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Tumaini ni nanga ya roho
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Katika imani, yote yanawezekana
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Baraka kwako na familia yako.
Neema ya Mungu inatosha kwako
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Nguvu hutoka kwa Bwana
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mwamini katika mpango wake.
Mungu ni mwema, wakati wote!
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Sifa kwa Bwana!
Dumu katika Bwana.
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Endelea kuwa na imani!
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Rehema zake hudumu milele
Rehema hushinda hukumu
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Neema na amani iwe nawe.
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida